Haya wadau kombe la dunia hiloo bado kama mwezi mmoja unavyo ona kweye picha. ni moja ya Basi kutoka kwa majirani zetu wa kenya likiwa limepambwa kwa ajili ya world cup litakalo kuwa likikata bunga kutoka Nairobi hadi hadi south Africa . haya wenye mabasi bongo habari ndio hiyo!!!
DENNIS LONDO ACHUKUA FOMU YA UBUNGE MIKUMI
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment